Hebrews 10:16-17

16 a“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao
baada ya siku hizo, asema Bwana.
Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao,
na kuziandika katika nia zao.”
17 bKisha aongeza kusema:

“Dhambi zao na kutokutii kwao
sitakumbuka tena.”
Copyright information for SwhNEN